INAUZWA Nauza bati Mpya

Trubarg

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2020
Posts
4,388
Reaction score
7,223
Migongo mipana
Kampuni: Ando
Gauge28
Rangi carrot
Mahali Dodoma
Vipimo
Upana cm 190
Urefu
6.0m lipo 1
4.8m Zipo 3 na
3.6m ipo 2
Jumla mita 27
Bei 13000 kwa mita
Mwenye interest tuonane
 
Weka bei elekezi mteja anaweza hamasika tokana na bei, hata lini mtafundishwa kuweka matangazo ya biashara?
 
Weka bei elekezi mteja anaweza hamasika tokana na bei, hata lini mtafundishwa kuweka matangazo ya biashara?
Nimemuuliza bati kampuni gani hataki kusema, sijui wanafanyaje biashara hawa watu
 
Weka bei elekezi mteja anaweza hamasika tokana na bei, hata lini mtafundishwa kuweka matangazo ya biashara?
Bei nitakuuzia kwa 13 kwa mita mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…