Snapdragon 8
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,046
- 3,781
Kwa sababu hakuna pikipiki ya matairi miwili iliyopewa majukumu ya kubeba mahindiEmbu nishawishi vizur kwann nisinunue sanlg mpya mbili, zenye uwezo wa kubeba gunia mbili za mahind, nije ninunue hiyo yako
Kwenye post yako ya September 22,2022 ulikuwa unaiuza pikipiki hii kwa 6.5m. Sasa imeshuka kwa 700k na bado itashuka zaidi. Ikifika 400k ni DMNauza click cc 150 ipo ktk good condition kwa bei ya Mil 5,8000,000 View attachment 2503748View attachment 2503749View attachment 2503750View attachment 2503751
Au kinglion guta 5m mpya... Hivi vi pikipiki watu wanavipa kiki tu... Havina kituEmbu nishawishi vizur kwann nisinunue sanlg mpya mbili, zenye uwezo wa kubeba gunia mbili za mahind, nije ninunue hiyo yako
Kama huna pesa fanya kupita njia mkuu kila mtu na ugonjwa wake wewe unapenda sunlg wengine ugonjwa wao huo usiongee pumbaMillion 5.8 napata Sunlg mbili na kubaki na laki 9 kabisa nije ninunue huo uchafu
Sawa kanunue kiongozi
[emoji2][emoji2][emoji2]Bei ya pikipiki una weza nunua gari ni machaguo tu
Pikipiki hii uliyoionesha kwenye picha au Kuna picha ya Honda XL 125 umesahau kuiweka?? Can't believe 5.8m inaweza kutumika kununua huu utopolo bwaashee
Hii siitaki nataka ya wizi tu
Unaweza kutuwekea upekee wa hiyo pikipiki, mpaka kufikia hatua ya kuiuza kwa bei hiyo?Milioni 5 na laki 8 mkuu