House4Sale Nauza boma langu la nyumba chanika

jerryempire

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2017
Posts
5,530
Reaction score
9,550
ninauza boma eneo chanika mwisho limejengwa nusu kama ulionavyo ukubwa ni 28 kwa 12meters ipo jirani na bara bara ina vyumba 3,master 2 na cha kawaida kimoja,store,jiko na seble shimo la choo tayari nauza kwa 20m maongezi tu karibu sana ipo chanika mwisho kwa china
maji umeme vipo gari inafika mpka mlangoni
0669756657
0623953036

 
karibuni ndugu nauza sabab nmekwama tu but liko vizuri sana ni kazi ya kumalizia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…