Salam kwenu wakuu.
Picha ambatanishi ni boma la nyumba yangu,lipo Tanga Mjini-Neema area.
Lina vyumba vitatu.
Masterroom 1
Vyumba vya kawaida -2
Sitting room
Dinning room
Kitchen na store yake.
Public toilet.
Maji ya bomba yapo hapo hapo,bomba limepita mbele ya Kiwanja.
Kumezungukwa na makazi kama inavyoonekana kwenye picha.
Umeme bado nguzo mbili kufikia kwenye Kiwanja,majirani wameshajaza fomu za maombi,wanasubiri upatikanaji wa nguzo.
Liko mita 200 toka barabara kuu ya Pangani-Tanga ambayo kwa sasa inajengwa kiwango cha lami,kutoka Posta/Bandarini hadi hapo 8km na usafiri wa daladala upo,eneo linatosha kujenga nyumba 4 za kawaida...
Bei-18mln hati yake ipo ya miaka 33.
Mawasiliano ya WhatsApp ni 0742666736.
Mimiliki ni mimi mwenyewe
Picha ambatanishi ni boma la nyumba yangu,lipo Tanga Mjini-Neema area.
Lina vyumba vitatu.
Masterroom 1
Vyumba vya kawaida -2
Sitting room
Dinning room
Kitchen na store yake.
Public toilet.
Maji ya bomba yapo hapo hapo,bomba limepita mbele ya Kiwanja.
Kumezungukwa na makazi kama inavyoonekana kwenye picha.
Umeme bado nguzo mbili kufikia kwenye Kiwanja,majirani wameshajaza fomu za maombi,wanasubiri upatikanaji wa nguzo.
Liko mita 200 toka barabara kuu ya Pangani-Tanga ambayo kwa sasa inajengwa kiwango cha lami,kutoka Posta/Bandarini hadi hapo 8km na usafiri wa daladala upo,eneo linatosha kujenga nyumba 4 za kawaida...
Bei-18mln hati yake ipo ya miaka 33.
Mawasiliano ya WhatsApp ni 0742666736.
Mimiliki ni mimi mwenyewe