SOLD: Nauza container nzuri za futi 40. Nipo Dar es Salaam

SOLD: Nauza container nzuri za futi 40. Nipo Dar es Salaam

Status
Not open for further replies.

BANGO JEUPE

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2015
Posts
3,079
Reaction score
2,152
SOLD
 

Attachments

  • IMG_20180705_170610.jpg
    IMG_20180705_170610.jpg
    90 KB · Views: 471
  • IMG_20180705_170719.jpg
    IMG_20180705_170719.jpg
    76.5 KB · Views: 459
  • IMG-20180605-WA0003.jpg
    IMG-20180605-WA0003.jpg
    44.1 KB · Views: 494
daaa inaniuma sana maana hayo madude nayahtaj zaid ya kitu chochote kwa sasa, n kwa mara moja tu au n kaz yako mda wowote naweza kupata?

Namba zangu hizo ndugu mimi ndo biashara yangu
 
Kontena ni nzuri hata kwa wale wanaohitaji kutengeneza portable shop yaani ww unategesha eneo zuri kwa biashara ukihama unahama nalo
 
Hata kwa wale wanahitaji kuhifadhi bidhaa kavu zisizohitaji kupatwa na majimaji basi container zitakufaa sana
 
zipo maeneo gani kwa hapa Dsm na je usafiri juu yako na upakiliaji /ushushaji?
Kwa sasa Ziko temeke, buza, vingunguti na kulasini Lakini location inaweza kubadilika hasa tunapoingiza stock mpya

Toka eneo kontena lilipohifadhiwa Usafiri ni juu ya mteja iwe ndani au nje ya DARESSALAAM
 
Kontena zinafaa pia kuhifadhi vyakula ni salama zaidi zaidi ya wanyama waharibifu kama panya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom