Nauza dagaa kwa ajili ya chakula cha kuku/ mifugo

Nauza dagaa kwa ajili ya chakula cha kuku/ mifugo

_pjc_

Member
Joined
Aug 25, 2019
Posts
58
Reaction score
31
Habari!

Mimi ni kijana mjasiriamali wa kitanzania, ninajishughulisha na uuzaji wa dagaa kwa ajili ya kutengenezea chakula cha kuku/mifugo, hivyo natafuta mteja/wateja wa dagaa hao.

Dagaa hao wanapatikana kuanzia tani 1.

Bei ni shilingi 3000/= kwa kilo 1, ambayo itajumuisha usafirishaji wa mzigo hadi mahali ulipo, nimewasilisha mfano wa picha hapo chini.

Napenda kuwasilisha.

IMG_2027.jpg

IMG_2026.jpg

IMG_2025.jpg

IMG_2024.jpg

IMG_2023.jpg

IMG_2021.jpg

IMG_2021.jpg
 

Attachments

  • IMG_2022.jpg
    IMG_2022.jpg
    299 KB · Views: 6
  • IMG_2021.jpg
    IMG_2021.jpg
    181.2 KB · Views: 7
Back
Top Bottom