Mr Kazembe
JF-Expert Member
- Mar 24, 2019
- 386
- 514
Dah nimekosa kitu kizuri kabsa. [emoji26][emoji26] mkuu mimi niko mkoani
Nlikuwa nataka cpu tu
DESKTOP DELL YAKUSIMAMA
processor•intel Core i3 2120
ram•8gb 4x2
hdd•500 | 320
display• HP L1710 NCH 17
mouse•hp wired optical mouse
gamepad•Ucom
bei ya kuuza ni 300k
LINGANISHA BEI YA DUKANI KISHA NJOO MALI IMESIMAMA....
WALE WA 250|260|270 BAKINI NAZOO MABOSS ZANGU
[emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
View attachment 1793846
View attachment 1793848
View attachment 1793849
View attachment 1793850
View attachment 1793851
IPO. DAR ES SALAAM KAMA UPO NJE YA DAR MTUME NDUGU YAKO AJE AIKAGUE NDO BIASHARA IENDELEE
200k ipo kwa cpu mkuu
kwanini iwe lazima ikaguliwe?
kama kitu ni kizima katika ubora wake hofu yako inatoka wapi
Nlikuwa nataka cpu tu
Unapatika dar sehemu gani?DESKTOP DELL YAKUSIMAMA
processor•intel Core i3 2120
ram•8gb 4x2
hdd•500 | 320
display• HP L1710 NCH 17
mouse•hp wired optical mouse
gamepad•Ucom
bei ya kuuza ni 300k
LINGANISHA BEI YA DUKANI KISHA NJOO MALI IMESIMAMA....
WALE WA 250|260|270 BAKINI NAZOO MABOSS ZANGU
[emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
View attachment 1793846
View attachment 1793848
View attachment 1793849
View attachment 1793850
View attachment 1793851
IPO. DAR ES SALAAM KAMA UPO NJE YA DAR MTUME NDUGU YAKO AJE AIKAGUE NDO BIASHARA IENDELEE
Unapatika dar sehemu gani?
Takuchekikwarobert karibu na mbezi mwisho goba rd
Jamaa ana mkwara mnene na maneno shit utafikiri mashine na bei anayotaja ni kapendelea. Bei ya mashine na sifa zenyewe ni upo ndani ya range ya hizo mashine kwa mtaani. Hapo ni kama muuzaji hana haraka. Kama muuzaji ana haraka hiyo hela inashuka.
Na bei uliyotaja ni inabidi utoe power cable, VGA, mouse na keyboard. Sasa keyboard huna unaanza kuwaandikia watu matusi. Akikupa 300K na siyo mjanja means itabidi anunue keyboard kwa 15K na kukufuata huko kijijini kwenu si ni bora aende shop?
CPU peke yake 250K? KKoo wauzeje sasa? Core i3 unamdindia mtu 250? Utakamata wanyasa mzee vumilia wanakuja.
Mwamba ana kauli ngumu sana😃Jamaa ana mkwara mnene na maneno shit utafikiri mashine na bei anayotaja ni kapendelea. Bei ya mashine na sifa zenyewe ni upo ndani ya range ya hizo mashine kwa mtaani. Hapo ni kama muuzaji hana haraka. Kama muuzaji ana haraka hiyo hela inashuka.
Na bei uliyotaja ni inabidi utoe power cable, VGA, mouse na keyboard. Sasa keyboard huna unaanza kuwaandikia watu matusi. Akikupa 300K na siyo mjanja means itabidi anunue keyboard kwa 15K na kukufuata huko kijijini kwenu si ni bora aende shop?
CPU peke yake 250K? KKoo wauzeje sasa? Core i3 unamdindia mtu 250? Utakamata wanyasa mzee vumilia wanakuja.
Yaani wewe huna cha kunielewesha katika hii mashine yako. Specifications ni nzuri ila hazimaanishi bei yako ni fair mnoooo mpaka uwe unatukana watu.nandomana nikakuambia nenda kkoo silazimishi mtu kununua bei nilizo taja ji ndogo mno piaa kwa specification nilizo ainisha utaki sikulazimishi nenda kkoo
Core i3 alafu ni second generation aisee.Jamaa ana mkwara mnene na maneno shit utafikiri mashine na bei anayotaja ni kapendelea. Bei ya mashine na sifa zenyewe ni upo ndani ya range ya hizo mashine kwa mtaani. Hapo ni kama muuzaji hana haraka. Kama muuzaji ana haraka hiyo hela inashuka.
Na bei uliyotaja ni inabidi utoe power cable, VGA, mouse na keyboard. Sasa keyboard huna unaanza kuwaandikia watu matusi. Akikupa 300K na siyo mjanja means itabidi anunue keyboard kwa 15K na kukufuata huko kijijini kwenu si ni bora aende shop?
CPU peke yake 250K? KKoo wauzeje sasa? Core i3 unamdindia mtu 250? Utakamata wanyasa mzee vumilia wanakuja.