Poa nitakucheknime ku dm namba nicheki
qaswida mix na Castr hebu fanyeni huu mjadala muusitishe kwa faida yenu wote tafadhali na faida ya jukwaa hili la matangazo ya biashara
Kumbukeni kuna kesho na biashara bado zipo.. Hii sio mwisho.. Haya malumbano hayana afya kwa kila mmoja wetu hapa
[emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa ana mkwara mnene na maneno shit utafikiri mashine na bei anayotaja ni kapendelea. Bei ya mashine na sifa zenyewe ni upo ndani ya range ya hizo mashine kwa mtaani. Hapo ni kama muuzaji hana haraka. Kama muuzaji ana haraka hiyo hela inashuka.
Na bei uliyotaja ni inabidi utoe power cable, VGA, mouse na keyboard. Sasa keyboard huna unaanza kuwaandikia watu matusi. Akikupa 300K na siyo mjanja means itabidi anunue keyboard kwa 15K na kukufuata huko kijijini kwenu si ni bora aende shop?
CPU peke yake 250K? KKoo wauzeje sasa? Core i3 unamdindia mtu 250? Utakamata wanyasa mzee vumilia wanakuja.
The gunner punguza kumpiga spanaYaani wewe huna cha kunielewesha katika hii mashine yako. Specifications ni nzuri ila hazimaanishi bei yako ni fair mnoooo mpaka uwe unatukana watu.
Mimi nawaambia humu kwa yeyote anayetaka CPU aende KKoo afike lile eneo lenye kanisa linatazamana na fremu za maduka yanayouza bongo movies na seasons zilizotafsiriwa pale pale kuna fremu za kuuza CPU, monitor na ishu kibao za computer.
Na unapata kwa bei ya huyu kinabo au chini yake kutegemea na specs. Ukienda Machinga complex CPU anayoidindia huyu jamaa unaipata kwa pesa haizidi laki mbili.
Et kinabo ha ha ha.. Ila jamaa kazingua mikwara mingi sana.Yaani wewe huna cha kunielewesha katika hii mashine yako. Specifications ni nzuri ila hazimaanishi bei yako ni fair mnoooo mpaka uwe unatukana watu.
Mimi nawaambia humu kwa yeyote anayetaka CPU aende KKoo afike lile eneo lenye kanisa linatazamana na fremu za maduka yanayouza bongo movies na seasons zilizotafsiriwa pale pale kuna fremu za kuuza CPU, monitor na ishu kibao za computer.
Na unapata kwa bei ya huyu kinabo au chini yake kutegemea na specs. Ukienda Machinga complex CPU anayoidindia huyu jamaa unaipata kwa pesa haizidi laki mbili.
Wewe hujanielewa itakua.kuna watu wanadharau sana alafu anakuona mtu kama umekurupuka vile...
anataka uuze bidhaa kwa bei anayoitaka yeye
yani yeye ndo apange gharama ndomana mimi natoa kauli ndogo tu mtu ikimshinda aende kkoo akatafute cpu yenye specs kama hio tajwa hapo juu kisha alinganishe bei #over
Biashara na huyu mshkaji kama matusi yake ni haya namuescape mapema tuqaswida mix na Castr hebu fanyeni huu mjadala muusitishe kwa faida yenu wote tafadhali na faida ya jukwaa hili la matangazo ya biashara
Kumbukeni kuna kesho na biashara bado zipo.. Hii sio mwisho.. Haya malumbano hayana afya kwa kila mmoja wetu hapa
Yaani wewe huna cha kunielewesha katika hii mashine yako. Specifications ni nzuri ila hazimaanishi bei yako ni fair mnoooo mpaka uwe unatukana watu.
Mimi nawaambia humu kwa yeyote anayetaka CPU aende KKoo afike lile eneo lenye kanisa linatazamana na fremu za maduka yanayouza bongo movies na seasons zilizotafsiriwa pale pale kuna fremu za kuuza CPU, monitor na ishu kibao za computer.
Na unapata kwa bei ya huyu kinabo au chini yake kutegemea na specs. Ukienda Machinga complex CPU anayoidindia huyu jamaa unaipata kwa pesa haizidi laki mbili.
Unavyodengua wakati likomputer lenyewe la kizamaniii. Huwezi pata computer ya kisasa yenye monitor iliyokuwa square.nenda kkooo utapata maana naona unajipangia bei sipo kwenye mnada
Wewe hujanielewa itakua.
Mimi sijataka uuze kwa bei ninayoitaka ndiyo maana mwanzo kabisa nikasema bei uliyotaja ipo ndani ya range ya bei za mtaani lakini shombo unazotoa utafikiri unauza kwa bei ya chini.
Kwahiyo narudia tena specs za hiyo mashine hazitoshi wewe kuanza kutukana watu.
Unavyodengua wakati likomputer lenyewe la kizamaniii. Huwezi pata compurmter ya kisasa yenye monitor iliyokuwa square.
kuna watu wanadharau sana alafu anakuona mtu kama umekurupuka vile...
anataka uuze bidhaa kwa bei anayoitaka yeye
yani yeye ndo apange gharama ndomana mimi natoa kauli ndogo tu mtu ikimshinda aende kkoo akatafute cpu yenye specs kama hio tajwa hapo juu kisha alinganishe bei #over
Kibingwa kabisa fanyeni kama hili limeishaBiashara na huyu mshkaji kama matusi yake ni haya namuescape mapema tu
Biashara na huyu mshkaji kama matusi yake ni haya namuescape mapema tu
Sijasema popote kwamba unauza bei kali bali hoja ni kwamba, acha kujifanya unauza kidonge cha kurefusha maisha!! Hizo kauli zako zingekuwa na maana enzi za Mkapa kurudi nyuma lakini sio sasa ambapo PC zimejaa kila kona!!ujalazimishwa ukumbuke maduka yapo ukiona mimi nauza bei kali kapambane dukani
Wapi nimesema unauza bei kali?! Hoja yangu ni kwamba, acha kujifanya unauza kidonge cha kurefusha maisha!! Hizo kauli zako zingekuwa na maana enzi za Mkapa kurudi nyuma lakini sio sasa ambapo PC zimejaa kila kona!!