Nauza duka kwa mtu anaetaka kuanza biashara

Nauza duka kwa mtu anaetaka kuanza biashara

Mamy7

Member
Joined
Apr 18, 2023
Posts
21
Reaction score
29
Habari wana jamvi. Kuna duka naliuza liko Mwanza Nyasaka. Ni duka la urembo lina vipodozi,nguo,mikoba na viatu. Naliuza milioni 2.5 tu na kodi yake inaenda hadi January 2025. Kwaiyo ukinunua wewe ni kuingia tu na kuanza biashara.
Kwa mawasiliano nipigie 0759026697
20240815_143751-COLLAGE.jpg
 
Habari wana jamvi. Kuna duka naliuza liko Mwanza Nyasaka. Ni duka la urembo lina vipodozi,nguo,mikoba na viatu. Naliuza milioni 2.5 tu na kodi yake inaenda hadi January 2025. Kwaiyo ukinunua wewe ni kuingia tu na kuanza biashara.
Kwa mawasiliano nipigie 0759026697View attachment 3082058
Vipi naweza nikalinunua nikakuweka wewe uniuzie
 
Hizo bidhaa hazifiki 1.5 labda kwa sababu ya kodi mkuu..kodi yake bei gani kwa mwezi
 
Habari wana jamvi. Kuna duka naliuza liko Mwanza Nyasaka. Ni duka la urembo lina vipodozi,nguo,mikoba na viatu. Naliuza milioni 2.5 tu na kodi yake inaenda hadi January 2025. Kwaiyo ukinunua wewe ni kuingia tu na kuanza biashara.
Kwa mawasiliano nipigie 0759026697View attachment 3082058
Biashara imebuma nini??mwanza unatakiwa huuze masangara sio manguo
 
Back
Top Bottom