Nauza dume la kisasa la Ng'ombe

Nchiyanguu

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2021
Posts
295
Reaction score
561
Kama kichwa kinavyosema nauza dume la kisasa ambae ndio ananza kupanda, amepatikana kwa njia ya chupa.

Bei: 700,000
Location: Dar es salaam





 
Boss omba kurekebishiwa kichwa cha habari kisomeke " Nauza dume la kisasa la Ng'ombe ...", ili asomaye aweze kuelewa kwa wepesi.

Nakutakia kila la heri kwenye biashara yako.
 
Boss omba kurekebishiwa kichwa cha habari kisomeke " Nauza dume la kisasa la Ng'ombe ...", ili asomaye aweze kuelewa kwa wepesi.

Nakutakia kila la heri kwenye biashara yako.

Shukrani sana mkuu
 
Hamjui kutangaza Biashara..Elezea Vizuri Huyu Dume ni Ayshire au Jersey
Mama yake anatoa lita ngapi?
Kwanini unamuuza?
Ana umri gani?
Ana ugonjwa au hali yake ya afya ikoje?
Yuko Sehemu gani na Mwisho utaje chanjo alizopata Ndigana Kali
ECF nakadhakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…