Car4Sale Nauza Eicher bus namba DDJ Mil 28

MrsPablo1

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2013
Posts
1,073
Reaction score
1,941
#1
Hakuna dalali nauza mwenyewe.
gari ni nzima haina tatizo lolote na iko kwenye hali nzuri kabisa
Namba ni DDJ ....
Million 28..
Karibuni kwa maelezo zaidi tuwasiliane,
0713220021
 

Attachments

  • IMG-20180829-WA0000.jpg
    64.1 KB · Views: 61
  • IMG-20180829-WA0002.jpg
    52.6 KB · Views: 59
  • IMG-20180829-WA0001.jpg
    61.9 KB · Views: 62
Inaonekana ya zamani either custom made, kuwa na namba D haimaanishi ni mpya mpya hizo namba watu wanachakatua tu siku hizi, Punguza bei kidogo kama 20 hv
 
Inaonekana ya zamani either custom made, kuwa na namba D haimaanishi ni mpya mpya hizo namba watu wanachakatua tu siku hizi, Punguza bei kidogo kama 20 hv
Gari ni yangu mwenyewe na ni eicher mpya mayai kama unazijua vizuri hizo gari utaelewa na pia sina sababu ya kudanganya ingekuwa imefanyiwa modification ningesema.
 
Mwenye hela akanunue, wasiwasi wangu ni kununua plate namba!
 
Mwenye hela akanunue, wasiwasi wangu ni kununua plate namba!
gari ipo mwenye pesa aje kuiona ,nilinunua mpya sijaibadilisha chochote toka ninunue zaidi ya matengenezo madogo madogo ya kawaida kwa daladala na ikitokea nimetatua shida yangu sitauza au bei itapanda kwasababu gari inafanya kazi vizuri tuu haina deni wala tatizo lolote
 


Mkuu ikiwa mpya ulinunua bei gani??
 
Haina deni africarries ?
 
.
 

Attachments

  • IMG-20180908-WA0029.jpg
    72.8 KB · Views: 31
  • IMG-20180908-WA0032.jpg
    68.1 KB · Views: 34
  • IMG-20180908-WA0028.jpg
    62.3 KB · Views: 38
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…