Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,203
- 5,997
Kama lipo upande wa ilipokuwa nyashishi sekondari naomba nkupatie kesho 2m,tukutane pale nile pub saa5 ila kama lipo huko taxas huko hapana jombaaaNauza eneo/ kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa makazi.
Mahali:Nyashishi - Mwanza.
Kilometre 1.5 kutoka barabara kuu ya lami,
Mwanza - Shinyanga.
Aina: Tambarare,kubwa na zuri kwa ujenzi.
-Halina mawe kabisa ndani yake.
-Linafikika kwa gari na watu wamejenga jirani.
-Halina mgogoro wowote na hati zipo.
-Halina dalali (me ndiye mmiliki).
-Mawe kwa ajili ya ujenzi yanapatikana karibu.
Vipimo: Sio Square
-Urefu- Mita 35(Kus) - Upana M. 25 (Magh).
-Urefu -Mita 26(Kas) - Upana M.21 (Mash).
Bei - Tsh Milioni Tatu (3 M) Maongezi yapo.
Mawasiliano: 0627 693 146
View attachment 2142034
Kwani Nyashishi sekondari ilishahama pale..?Maana sijatembelea maeneo hayo kitamboKama lipo upande wa ilipokuwa nyashishi sekondari naomba nkupatie kesho 2m,tukutane pale nile pub saa5 ila kama lipo huko taxas huko hapana jombaaa
Ilifungwa kiongozi wanguKwani Nyashishi sekondari ilishahama pale..?Maana sijatembelea maeneo hayo kitambo
Sawa Mkuu ngoja niwasubiriwateja watakuja
Ahsante kwa utayari Mkuu,ila kwa hiyo bei inakata mkuu,panda kiasi.Kama lipo upande wa ilipokuwa nyashishi sekondari naomba nkupatie kesho 2m,tukutane pale nile pub saa5 ila kama lipo huko taxas huko hapana jombaaa
Mkuu wewe huhitaji?.Il
Ilifungwa kiongozi wangu
Sawa nimekupataIl
Ilifungwa kiongozi wangu
Huko ni porini bwanaNauza eneo/ kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa makazi.
Mahali:Nyashishi - Mwanza.
Kilometre 1.5 kutoka barabara kuu ya lami,
Mwanza - Shinyanga.
Aina: Tambarare,kubwa na zuri kwa ujenzi.
-Halina mawe kabisa ndani yake.
-Linafikika kwa gari na watu wamejenga jirani.
-Halina mgogoro wowote na hati zipo.
-Halina dalali (me ndiye mmiliki).
-Mawe kwa ajili ya ujenzi yanapatikana karibu.
Vipimo: Sio Square
-Urefu- Mita 35(Kus) - Upana M. 25 (Magh).
-Urefu -Mita 26(Kas) - Upana M.21 (Mash).
Bei - Tsh Milioni Tatu (3 M) Maongezi yapo.
Mawasiliano: 0627 693 146
View attachment 2142034
Ardhi, maji, na mito havitakiwi kuuzwa,mtu akitaka avitumie bure kama alivyovikuta mpaka atakapoviacha, kwa sababu binadamu asiye na hela hizo huduma atazipataje hapa ulimwenguni. Gawa hicho kiwanja bure kwa yeyote anayehitaji.Bei Sahihi isiyo ya tamaaa, ardhi nzuri isiyo na Maji, mchawi pesa sasa
Mkuuu samahani, unasali kwa Zumaridiiii au Mwamposa??Ardhi, maji, na mito havitakiwi kuuzwa,mtu akitaka avitumie bure kama alivyovikuta mpaka atakapoviacha, kwa sababu binadamu asiye na hela hizo huduma atazipataje hapa ulimwenguni. Gawa hicho kiwanja bure kwa yeyote anayehitaji.
Ahsante sana Mkuu,watu kama ninyi huwa nawakubali mno,hata kama hununui unampa mtu moyo,barikiwa sana aisee.Bei Sahihi isiyo ya tamaaa, ardhi nzuri isiyo na Maji, mchawi pesa sasa
Shukran Mkuu karibu pia.Ahsante kwa taarifa...
Umewahi kufika mkuu?hilo pori umeliona wapi?Huko ni porini bwana