Plot4Sale Nauza eneo la ekari mbili kasoro robo Mtwara

Plot4Sale Nauza eneo la ekari mbili kasoro robo Mtwara

mkaamweusi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2013
Posts
618
Reaction score
824
Habari zenu wadau?

Nauza eneo la ukubwa wa square meter 7081.9

Lipo km 16 kutoka Mtwara Mjini.

Lipo umbali wa meter 860 kutoka bara bara kuu ya MTWARA-NEWALA.

Ni katika kijiji cha MDUWI.

Kuna nguzo za umeme zimeshushwa, umeme utakuwepo hivi karibuni, ila shughuli zote za kijamii zinaendelea kama shule, zahanati na soko.

Mm ninalitumia kama shamba kwa sasa hata hivi naandika nimelima mihogo kuchanganya na mahindi, ina miezi mitatu kwa sasa.

lina hati halali ya serikali ya kijiji.

Eneo linafikika kiurahisi kabisa kwa gari, pikipiki na hata baiskeli mpaka ndani ya eneo.

Eneo ni la tambarare na linarutuba ya kutosha.

Unaweza kulitumia kama makazi, ukafanya ufugaji wa kuku, nguruwe, mbuzi nk. Kama wanavyofanya baadhi ya majirani zangu.

Lipo jirani na bonde la maji yanayotumiwa na wanakijiji hivyo unaweza kulima mboga mboga, karoti, ndizi, mapapai, karanga, ufuta, mahindi na hata mihogo.

Kama unataka kwa makazi unaweza kutengeneza mradi wa kuvuna na kuuza maji ya mvua.

Unaweza ukatengeneza faida ya mwaka kati ya mil 8 mpaka 12.ukiwekeza kwenye biashara ya kuku na Mayai ya kisasa.

Kwasababu lipo jirani na eneo la shule flani ya watoto maarufu sana hapa mtwara, ni rahisi kupata soko la bidhaa zako hapo.

Nimeamua kuliuza kwakuwa kuna tatizo la kiafya natakiwa kutatua na ni muhimu kuliko eneo.

Bei ni Million 3.5 tu, Punguzo lipo lakini ni dogo mno.Hakuna dalali mmiliki ndo muuzaji.

Kama una uhitaji nifuate dm au nichek kupitia 0719 466 225.

Unaweza kunichek whatsapp kwa namba hiyo kama ukihitaji picha zaidi.

IMG_20210328_110259_3.jpg
Screenshot_20210329-120813.jpg
Screenshot_20210329-120636.jpg
IMG_20210124_095900_1.jpg
IMG_20210221_162918_4.jpg
IMG_20210101_111206_8.jpg
 
Habari zenu wadau?

Nauza eneo la ukubwa wa square meter 7081.9

Lipo km 16 kutoka Mtwara Mjini.

Lipo umbali wa meter 860 kutoka bara bara kuu ya MTWARA-NEWALA.

Ni katika kijiji cha MDUWI.

Kuna nguzo za umeme zimeshushwa, umeme utakuwepo hivi karibuni, ila shughuli zote za kijamii zinaendelea kama shule, zahanati na soko.

Mm ninalitumia kama shamba kwa sasa hata hivi naandika nimelima mihogo kuchanganya na mahindi, ina miezi mitatu kwa sasa.

lina hati halali ya serikali ya kijiji.

Eneo linafikika kiurahisi kabisa kwa gari, pikipiki na hata baiskeli mpaka ndani ya eneo.

Eneo ni la tambarare na linarutuba ya kutosha.

Unaweza kulitumia kama makazi, ukafanya ufugaji wa kuku, nguruwe, mbuzi nk. Kama wanavyofanya baadhi ya majirani zangu.

Lipo jirani na bonde la maji yanayotumiwa na wanakijiji hivyo unaweza kulima mboga mboga, karoti, ndizi, mapapai, karanga, ufuta, mahindi na hata mihogo.

Kama unataka kwa makazi unaweza kutengeneza mradi wa kuvuna na kuuza maji ya mvua.

Unaweza ukatengeneza faida ya mwaka kati ya mil 8 mpaka 12.ukiwekeza kwenye biashara ya kuku na Mayai ya kisasa.

Kwasababu lipo jirani na eneo la shule flani ya watoto maarufu sana hapa mtwara, ni rahisi kupata soko la bidhaa zako hapo.

Nimeamua kuliuza kwakuwa kuna tatizo la kiafya natakiwa kutatua na ni muhimu kuliko eneo.

Bei ni Million 3.5 tu, Punguzo lipo lakini ni dogo mno.Hakuna dalali mmiliki ndo muuzaji.

Kama una uhitaji nifuate dm au nichek kupitia 0719 466 225.

Unaweza kunichek whatsapp kwa namba hiyo kama ukihitaji picha zaidi.

View attachment 1739313View attachment 1739314View attachment 1739315View attachment 1739317View attachment 1739319View attachment 1739321
Hii mifugo nayo ipo ndani ya hiyo bei?
 
Back
Top Bottom