dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Mkuu ni ndefu ila sasa sisajua Kwamba zipo ndefu zaidi ya hii maana sio mfuatiliaji wa kuzichambua feni.boss ni fupi au ni zile ndefu?
Unauza kitu hujui kimo chake???Mkuu Kwakweli sijui ni fupi au ndefu maana sio mfuatiliaji wa kuzichambua feni.
Vipi unataka NDEFU?boss ni fupi au ni zile ndefu?
Nadhani ujanielewa nilichoandiika, kusema sio mfuatiliaji sio tiketi ya kutojua hadi rangiUnauza kitu hujui kimo chake???
🤣🤣🤣🤣.
Naamini hata rangi yake huijui maana si mfuatiliaji na mchambuzi wa feni.
Nahisi kwa maslahi mapana ya biashara, ungefanya uchambuzi wa vitu vya muhimu vya biashara yako ili hata mteja akiuliza uweze kujibu.Nadhani ujanielewa nilichoandiika, kusema sio mfuatiliaji sio tiketi ya kutojua hadi rangi
Nitumie picha ya risiti ya hii feni. Bei sio shidaNimeishusha sasa nauza 30k
Karibuni
Mawasiliano yangu 0657438581 nipo Dar
Aisee ndugu risiti nilishapoteza, Feni ni yanguNitumie picha ya risiti ya hii feni. Bei sio shida
unajua Dar kila mtu ni Mwizi