Nauza fenicha za ofisini zilizotumika 800,000 maongezi yapo

Afrolink-Tz Consult Ltd

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2018
Posts
424
Reaction score
950
Habari za leo!

Ninauza fenicha za ofisini zilizotumika zipo katika hali nzuri sana:
1. Meza kubwa moja (imported)
2. Kiti kimoja cha ngozi cha kuzunguka
3. Viti viwili vya wageni (nimenunua mwezi Januari,2024)
Fenicha zote hizi nauza kwa pamoja kama zilivyo sh 800,000 maongezi yapo
Zinapatikana mtaa wa Shaurimoyo/Songea, Ilala Dsm
Mawasiliano 0659211222/0777777766 [call/inbox/whatsapp]
Karibuni sana
 

Attachments

  • 20240310_164211.jpg
    1.4 MB · Views: 23
  • 20240310_164207.jpg
    1.4 MB · Views: 19
  • 20240310_161506.jpg
    1.8 MB · Views: 19
  • 20240310_161538.jpg
    769.1 KB · Views: 17
  • 20240310_164207.jpg
    1.4 MB · Views: 18
  • 20240310_161436.jpg
    942.5 KB · Views: 15
  • 20240310_161423.jpg
    945.4 KB · Views: 16
  • 20240310_161356.jpg
    1.5 MB · Views: 15
  • 20240310_161412.jpg
    855.8 KB · Views: 20
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…