Ok..na vp kwa laki3 itafaa?na ntaipataje?Wadau kama title inavyojieleza,nimeamua kuuza flat screen yangu,
Nimekwama wadau mana naona muda unayoyoma alafu mambo hayajakaa sawa hivo kuepusha shali na landlord ni bora niuze tu hii tv
TV ni mpya na original nilinunua Romania IPO kwenye hali nzuri sana nakupa pamoja na receipts na kila kitu ila box lake limeharibika kidogo
Price:450,000/=
Contact:0743830276
Picha ntaziweka kesho
Tafuta plan BMkuu usipouza unalipaje sasa kodi ya watu? Ma landlord Hawa wa siku hizi mhh
Wadau kama title inavyojieleza,nimeamua kuuza flat screen yangu,
Nimekwama wadau mana naona muda unayoyoma alafu mambo hayajakaa sawa hivo kuepusha shali na landlord ni bora niuze tu hii tv
TV ni mpya na original(LED) nilinunua Romania IPO kwenye hali nzuri sana nakupa pamoja na receipts na kila kitu ila box lake limeharibika kidogo
Price:450,000/=
Contact:0743830276
Ubungo river side
Picha ntaziweka kesho
Check page no# 1..Chairman, inaukubwa gani?
Thanks kiongozi nimetafuta sana kumbe ipo kwenye heading..Check page no# 1..