Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei nzuri ndugu yangu. Ila maslahi. [emoji4]
Kama utaongeza 300k nakabidhi.
Bado nzima; ina portions mbili ya chini na juu.
Juu kwa ajili ya kupooza
Chini ya kugandisha
Ina ICE BOX kwa ajili ya kutengeneza barafu la nje.
Ni Imara. [emoji91][emoji91][emoji91]
Bei 550,000. TZS
Mawasiliano 0743123946
View attachment 1617745
View attachment 1617746
View attachment 1617747
Kabla ya kuandika bei ya bidhaa ni muhimu uzunguke kidogo na kuangalia prices ili bei yako iwe na mashiko, au uhalali.....
Bei inatakiwa iwe na chanzo, sio unaamka na kucheki jinsi gani wali wa Jana uliganda halafu unatoka na kupanga bei!
Poa we endelea kuuzaBado nzima; ina portions mbili ya chini na juu.
Juu kwa ajili ya kupooza
Chini ya kugandisha
Ina ICE BOX kwa ajili ya kutengeneza barafu la nje.
Ni Imara. [emoji91][emoji91][emoji91]
Bei 550,000. TZS
Mawasiliano 0743123946
View attachment 1617745
View attachment 1617746
View attachment 1617747
Kuna 400k hapa chukua.Bado lipo na bei inapoa; karibuni
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Niuzie kwa 250k ndugu, mimi ni yatima!