Car4Sale Nauza Gari aina ya IST

Car4Sale Nauza Gari aina ya IST

ribussama

Member
Joined
Dec 11, 2016
Posts
94
Reaction score
42
Habari wadau.

Nina gari yangu aina ya IST naiuza. Ipo kwenye hari nzuri sana. Niliagiza ins kama week moja tu lakini nataka nibadilidhe gari nyingine.

Bei ni milion 12.5 tu

20210307_154937.jpg
20210307_154933.jpg
20210307_154921.jpg
20210307_154904.jpg
 
Atakama ushuru umepanda uwezi uza iyo gari bei iyo
 
Tatizo madalali mnapenda cha juu hiyo hela si unavuta nyingine showroom
 
Ndugu ist unaijua au unaisikia....

Amini nakuambia iyo gari anauza na hatomaliza nayo wiki mkononi

Waambie bora wewe umesema... nadhani hawawajui
Badala waseme wana kiasi gani wanakebehei
 
Back
Top Bottom