Manase fast courier
JF-Expert Member
- Mar 23, 2021
- 571
- 336
Tena D4, lazima atafute wakali wa hizo kaziUkiuza bila Dalali niite mume wangu nimekaa pale.
Umeniwahi kusema hili.Tena D4, lazima atafute wakali wa hizo kazi
Tatizo hiyo D4. Wabongo tunapenda kukariri vitu.Premio inauzika.
D4 inatatizo gani?Tatizo hiyo D4. Wabongo tunapenda kukariri vitu.
Tatizo hiyo D4. Wabongo tunapenda kukariri vitu.
Ukiuliza sababu ya D4 kuwa tatizo hakuna jibu la maana unalopewa.
Haina
Fuel consumption ipo juu.
Hawa madalali wanapenda kukutisha kwanza kisha ndio mkubaliane. Ila hoja ya msingi hawana kwenye D4.jamaa akaze gari inaonekana iko poaTatizo hiyo D4. Wabongo tunapenda kukariri vitu.
Ukiuliza sababu ya D4 kuwa tatizo hakuna jibu la maana unalopewa.
Kuna million 4 hapa ukikosa hizo 9
Hawa madalali wanapenda kukutisha kwanza kisha ndio mkubaliane. Ila hoja ya msingi hawana kwenye D4.jamaa akaze gari inaonekana iko poa
Ukiuza bila Dalali niite mume wangu nimekaa pale.
Fuel consumption 1litre/15km
Oil consumption 1litre/15km
Oil au fuelOil consumption 1litre/15km