[emoji23][emoji23]
Aisee h
Mbona unavuruga biashara ya mwenzako [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa bado yuko studio anaandaa picha
Duh hii gari au bar?
Umeambiwa imechoka sana,unataka matatizo gani tena?Ungesema matatizo yote
Ipo nyingine ya kuweka engine mpya,body yake ni nzima sana imesimama hii inataji 2.5m
Kigali kidogo kinabebeshwa mzigo mkubwa hivyo lazima body Ichoke. . Pole sana