Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha na Bei hadi inbox?Habari wana JF.. gari hizo hapo juu zote ni namba E zinauzwa nipo dsm kwa maongezi mazuri nitafute namba 0744566124
Nasikia namba zinabadiloshwagwaHabari wana JF.. gari hizo hapo juu zote ni namba E zinauzwa nipo dsm kwa maongezi mazuri nitafute namba 0744566124
Huwezi kuweka bei na picha?Habari wana JF.. gari hizo hapo juu zote ni namba E zinauzwa nipo dsm kwa maongezi mazuri nitafute namba 0744566124
Wapi imeandikwa hyo 30MOngeza kidogo bei ya hiyo Subaru XT yaani milioni 30 tu usifanye hivyo utaonekana umeokota zile zilizosombwa na mafuriko.
Ushauri tu.
Tayari bossHuwezi kuweka bei na picha?
Mil 40 kubwa sana mkuu.Tayari boss
TayHuwezi kuweka bei na picha?
Tayari bossUKIFANYA PRO KATIKA BIASHARA YAKO BASI ZINGATIA MISINGI,
WEKA PICHA YA BIDHAA
WEKA BEI ELEKEZI YA BIDHAA
NA MAELEZO MAFUPI KUHUSU BIDHAA HIYO.
KILA LA KHERI MKUU, MOLA MLEZI AFANYE WEPESI KATIKA BIASHARA YAKO.
Nimehisi tu,andika bei jombaaWapi imeandikwa hyo 30M
Tayari mkuuPicha na Bei hadi inbox?
Nimeiandika broo mil 21 sio dalali gari ni yanguNimehisi tu,andika bei jombaa
Hujiongezi au wewe dalali??
Mil 21Mil 40 kubwa sana mkuu.
Tayari mkuuBila picha
Badilisha ya kwako kama ni rahisiNasikia namba zinabadiloshwagwa