Honorable son
Member
- Dec 14, 2016
- 13
- 15
Hii gari nimeona fb inauzwa 5.5 au nitag pichaKIMFAACHO MTU CHAKE , NILETEE 7.8 MIL NIKUACHIE HII NISSAN XTRAIL (DFP)
FULL DOCUMENTS
FULL AC
GARI NZURI HAIJARUDIWA RANGI ,
GARI KALII SANAA
NJOO MBAGALA
BEI 7.8 MIL CHAPCHAP
0625004475 https://t.co/Uft5zCFhGGView attachment 2328581View attachment 2328582View attachment 2328584View attachment 2328585View attachment 2328586
Usipo tag picha utakuwa unaharibu biashara, ila ukitag unakuwa hauharibu biashara maana Bora shali kamili kuliko nisu shali.Hii gari nimeona fb inauzwa 5.5 au nitag picha
Nami nilikua najiuliza... anyways kila mtu atakula kwa jasho lake... gari nzuri sana (body)Hii gari nimeona fb inauzwa 5.5 au nitag picha
Hata hiyo post yake ameandika kiudalali. Mwenye gafi huwa ana muandiko wake wenye maeldzo ya kutosha. Asante kwa taarifa mkuu Kanyegelo.Hii gari nimeona fb inauzwa 5.5 au nitag picha