Nauza gari Suzuki Vitara kwa bei safi kabisa.

Ndibalema

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2008
Posts
10,955
Reaction score
4,656
Gari ipo katika hali nzuri sana(see picha).
Insurance yake ni compressive.
Bei: inaanzia 7ML ila inapungua.
Just PM me kwa maelezo zaidi.

 


Short chesesi kitaa jamaa mpaka 4.5M wanachukua

Bora uangalie mara mbili bei hiyo.
 
unapoweka tangazo la kuuza gari zingatia kutaja mwaka wa gari, engene model na picha ya ndani ya gari, some na kilometres ngapi imeshatembea? ingawa kilometres sio muhimu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…