Nauza gari toyota ipsum

lonesome

Senior Member
Joined
Oct 10, 2010
Posts
195
Reaction score
66
nauza gari TOYOTA IPSUM . IMETEMBEA KM 93,500. RANGI YA SILVER. IPO OK HAINA SHIDA ,IMELIPIWA BIMA COMPREHENSIVE MPAKA 2011 MWEZI WA TISA.ina uwezo wa kuchukua abiria saba mpaka nane. bei ni shilling million nane. haina tatizo lolote inatembea. kwa mawasiliano ZAID piga simu 0714 160222 au 0768891102 . simu au sms zitajibiwa au email ngumbukeson@yahoo.com
 

Attachments

  • DSCN0496.JPG
    376.7 KB · Views: 111
ya mwaka gani? na kwanini umeamua kuliuza?
 
gari imeingizwa nchin mwaska 2004 but mtumiaj hakutumia sana akawa amepata safari ya kwenda kusoma nje so amerud tena kuanza kuitumia 2009.imekuwa ikitumika toka kipind hicho kwa mizunguko ya ndan ya dsm na pia imewah kwenda mkoa so ni gari ambayo unaweza kwenda nayo hata kigoma na kurud bila shida yoyote upande wa mechanics. na ni gar ya 1999.engine yake ni 3S kwa wale wataalamu wa magari.ni moja ya engine bora kabisa na imara.automatic gear. engine na gear box havijaguswa kabisa. so hapo ndugu ushindwe wewe. na hiyo bei si ya dalali...ni bei halali ya mmiliki wa gari hiyo ambaye ni mimi. kununua na kuuza ni mfumo wa maisha nauza so that to convert the car into money. nahitaj pesa kwa ajil ya mambo fulan binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…