Nauza gari walimu wenzangu.

Kitimbwisi

Senior Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
155
Reaction score
72
Gx 100, BM 2000, YA MWAKA 2008, IPO MOROGORO INATEMBEA, HAIJAWAH KUPATA AJARI BEI MAELEWANO, 0718445857
 
weka picha na bei mwl. ili tujue tunafanyaje biashara ss unaongea tu
 
Ok, bt nw nipo mbali kidogo na gari nipo mbeya ndo nilipo pata post, nikirudi nitaweka picha, bt haijawah kupata ajari hata mara 1, it means haina puti, na kila ki2 kinafanya kazi ndani na nje ya gari. Nimekwama kidogo.
 
Then nimeweka namba ya cm, kwa maelezo ya ziada if utahtaj.
 
HahhHaa. Mie mwanajeshi, naweza kuinunua mwalimu?
Natanguliza shukrani.
 
nipe kwa mkopo, mbegu ndio nimetupia shambani!! nkivuna nakulipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…