Edward A Chapa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 961
- 1,380
Mkuu kwa namba hiyo kwa bei hiyo utakesha sana...Habari, nauza gari lipo katika hali nzuri sana na huwa safari zake ni nyumbani to kazini tu ni
Toyota Mark 11 GX 110
2003 model
1988cc
T 222 AKD
Price 7. 5 mil
Karibuni sana
Cont 0717246284View attachment 391024View attachment 391025View attachment 391026
Mkuu muogope Mungu...GX110 umeinunua na KM 0??Basi ngoja niachie wengine huu mjadala..Maana tangu nijue magari sijakuona 0 KMIpo katika hali nzuri sana na haijatumika sana pia ilinunuliwa mpya km 0.
Teh teh teh yaani ndio anazidi kupigilia msumari kwenye Jeneza la Biashara yake ya Gari. kweli hali imekuwa tight sana mpaka mtu mzima anajidhalilisha hadharani.Mkuu muogope Mungu...GX110 umeinunua na KM 0??Basi ngoja niachie wengine huu mjadala..Maana tangu nijue magari sijakuona 0 KM
Habari, nauza gari lipo katika hali nzuri sana na huwa safari zake ni nyumbani to kazini tu ni
Toyota Mark 11 GX 110
2003 model
1988cc
T 222 AKD
Price 7. 5 mil
Karibuni sana
Cont 0717246284View attachment 391024View attachment 391025View attachment 391026
Hivi kasema anauza namba?Mkuu kwa namba hiyo kwa bei hiyo utakesha sana...
Fanya angalao 3M
Namba huwakilisha uchakavu wa gari!!Hivi kasema anauza namba?
Hapana, hauzi namba, ila kwa namba zile za AKD..ina maana ni gari imesajiliwa aidha 2005 ama 2006 mwanzoni, ten years back kwa barabara na service za Tanzania. Kwa maana hiyo thamani ya gari kaiweka juu sana, angeshuka kidogo.Hivi kasema anauza namba?
Tuacheni longolongo acheni kununua namba eti D, C, B na ukaona A ukafikiri ndio gari ya kushinda gereji, ukweli wa magari ni utunzaji na jinsi ya kulifanya lidumu, nimenunua gari jana namba A kwa bei ghari kweli sasa basi lile gari utadhani ndio nimelitoa jana japan, gari iko vizuri mno injini poa pia fuel consupmtion iko poa mno hadi raha licha ya ukubwa wa nchini yake. Sasa mnaofikiria kununua namba D basi safari njema si wengine tunataka magari imara yanayohimili mikiki mikiki barabarani
Hawezi kuwa alinunua na kulitunza, labda kuendea msikitini au kanisani tu. Mi naamini katika kujua ubora wa engine, transmission na suspension system. Lazima kufanya physical check-up.Hapana, hauzi namba, ila kwa namba zile za AKD..ina maana ni gari imesajiliwa aidha 2005 ama 2006 mwanzoni, ten years back kwa barabara na service za Tanzania. Kwa maana hiyo thamani ya gari kaiweka juu sana, angeshuka kidogo.
Body iko vizuri ajabu hakuna michubuko, haijarudiwa rangi, wala kubonyea popote, gari imekuwa ikipa route za dar tu, gari ni nzima mno hadi raha wajameniVipi bodi yake haijachomelewa?
Kama ilitumika sehemu za pwani?
Body iko vizuri ajabu hakuna michubuko, haijarudiwa rangi, wala kubonyea popote, gari imekuwa ikipa route za dar tu, gari ni nzima mno hadi raha wajameni