willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,071
- 1,303
Kama unataka nalifuta kuna dogo alikua analaliaMwamba mchafu sana
braza nipe laki moja uchukue godoroAhsante kwa taarifa na kila la kheri...
Alikua anatumia ndugu yangu yuo primary schoolHuu uwanja ushatumika sana, itakuwa zishapigwa mechi za kutosha
Sawa braza ndo maana pia bei imepunguaChukua vipimo upya hizo inches zishapungua
Halijakojolewa braza ni maji tuAlikuwa anakojolea
Kaka nauza godoro nikafanye interview we nipe hata 100000 tu.huyu jamaa ni wa kusaidiwa, sio wa kuuza godoro bahati mbaya watu tuna roho za ajabu. Sijui Kenya Harambee bado ipo