INAUZWA Nauza Godoro used 5/6

Duh jamaa ana user id mbili? Moja anaandika anauza ya pili anaweka bei... Thread za joke hizi sio jukwaa lake... Litakuwa na kunguni sana kawachoka
 
Duh jamaa ana user id mbili? Moja anaandika anauza ya pili anaweka bei... Thread za joke hizi sio jukwaa lake... Litakuwa na kunguni sana kawachoka
halina kunguni, kama unataka ncheki, bei 50,000
 
Una Id ngapi?

5500? are you serious au hilo godoro umeiba?

Duh jamaa ana user id mbili? Moja anaandika anauza ya pili anaweka bei... Thread za joke hizi sio jukwaa lake... Litakuwa na kunguni sana kawachoka

Hahaha linaweza kuwa la urithi. Alinunua babu, hata mjukuu ametumia.

Wakuu,

Nilimsaidia tu kuweka bei si unajua tena watu ka hawa wanahitaji msaada sometimes sasa kaweka bidha bila bei tufanyeje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Lakini nilikuwa mule mule au sio wadau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…