Car4Sale Nauza haya magari bila udalali

Car4Sale Nauza haya magari bila udalali

tax services

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2018
Posts
403
Reaction score
328
Bei ninazo tja hapo chini zinatoka kwa wamiliki wenyewe me sijaongeza chochote kama mtu utahtaji Gari na unaona bei kubwa basi nitakukutanisha na mwenye gari ili muweze kuzungumza wawili na endapo mtafika muafaka basi mnunuaji utanchangia kidogo pamoja na mwenye gari ili maisha yaende

Pia kwa wanaohtaji kuagiza magari nje
Iwe UK ,JAPAN , AMERICA, DUBAI chini ya kampuni makini na wazoefu kabisa mnakarbishwa utaagizwa gar uipendayo kwa muda muafaka kila kitu utalpia mwenyewe kuanzia invoice itakayotoka japan adi ushuhuru wa bandarin.

Pia kama una gari unauza unaweza nichek utaratibu ndio huo huo siongezi bei ya gari naiuza kama mwenye gari unavyotaka Mimi pesa utanipa Wewe mwenye gari ukishauza

Karibuni jina langu naitwa Yohana

Mobile : 0673263071
Location: Kijitonyama
IMG-20180713-WA0006.jpg
IMG-20180713-WA0003.jpg
IMG-20180713-WA0005.jpg
IMG-20180713-WA0004.jpg


Toyota Allion
Mwaka 2002
Cc 1700
Bei 8,500,000
 
Pia kuna Nissan extrail ya mwaka 2003
Namba CLN Picha mpaka j 3
Bei yake 7,500,000
 
Back
Top Bottom