Waibi fredy
Senior Member
- Jul 4, 2018
- 194
- 227
3.5 nitafuteKuna 3M hapa kama shamba halina magumashi na docs zote muhimu zipo
Ni kama 10 kutoka Bagamoyo road. Hizo 10 ni nini?Habari za muda huu, nauza shamba heka 3 Tu zipo Bagamoyo Mkenge. Ni kama 10 kutoka Bagamoyo road.
Zote kwa pamoja ni 3.7m ni mali yangu haina dalali pia linatambulika na Serikali za kijiji.
WhatsApp :0715160365
Unaweza nipigia: 0698170582
KmNi kama 10 kutoka Bagamoyo road. Hizo 10 ni nini?
Yes ambayo unaelekea kiwangwaBagamoyo Road ipi au hiyo barabara inayoelekea kiwangwa
Ova
Bagamoyo Road ipi au hiyo barabara inayoelekea kiwangwa
Ova
Napajua huko,upande wa kiwanda cha nguzo za zegeMkenge ipo ndani kidogo wastani 10km kutoka barabara kuu itakayo dar kwenda msata. Ukifkika fukayosi mbele kidogo kuna kiwanda cha chuma kipya...then hatua chache ndio ipo njia panda ya kwenda mkenge kabla hujafika kijiji cha Mwavi. Ni pale kwenye gofu aka pagale walilodai lilikuwa ni kiwanda cha juisi.
Napajua huko,upande wa kiwanda cha nguzo za zege
Mbele unaingia kushoto
Kuna jamaa mwanO mwanzo hapo Ana sehemu Ana fuga ngombe,ukienda ndani ndani huko kuna li bwawa la maji
Mleta mada alitKiwa aseme barabara ya kuelekea msata not bagamoyo road
Ova
Yeah upo sahihi kabisa .nimeshindwa kufany chochote kwenye plote yangu changamoto TuYaah ndio maana nimemsaidia kufafanua, maana mwenywe nina kipande changu mwanzo mwanzo pale wa njia ya mkenge kijiji cha mwavi kitongoji cha zemba. Siku ukipita niambie nikupe ndizi na mananasi
Pale wanasema ni kwa bakhresa sio kiwanda cha juiceNapajua huko,upande wa kiwanda cha nguzo za zege
Mbele unaingia kushoto
Kuna jamaa mwanO mwanzo hapo Ana sehemu Ana fuga ngombe,ukienda ndani ndani huko kuna li bwawa la maji
Mleta mada alitKiwa aseme barabara ya kuelekea msata not bagamoyo road
Ova
Okay nicheki WhatsApp 0715160365Nitafute nikupatie pesa yako. Lakini mpaka lifanyiwe uhakiki na mtu alieko huko bongo kwanza ajiridhishe