Phone4Sale Nauza iPhone 13 na 15

Chance ndoto

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2017
Posts
4,363
Reaction score
10,265
Nauza iphone 13 plain
Used 2 months
UK
GB 128
Bh 100
Inakuja na boksi yake na original usb charge wire haijawhi tumika.
1,800,000ml Tsh
Dsm location
0783985530
 
English - Used 2 months
Swahili - Haijawahi Tumika

Sasa ipi ni ipi hapo?
Unatumia bundle lako vzuri, hongera sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.. pambana lisijelikaisha hujafanyia lolote.
 
Unatumia bundle lako vzuri, hongera sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.. pambana lisijelikaisha hujafanyia lolote.
Simu iliyofunguliwa ya mwaka 2021 unauza 1.8M? Hiyo na mpya tofauti yake nini?
 
Ngojaa nikadangee nakuja chap kuichukuaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii nyeusi ni milioni 2 na laki tisa tu.
Gb 128
Bh 100
Ni mpya kabisa
Ya UK.hii ya blue ni
MILIONI 3 kamili tu.
256 gb
Bh 100
Ni mpya kabisa.
Zinakuja naa Box lake.


Mawasiliano
0752850081 whatsapp or call
Karibu Nipo Congo na Narung'ombe
Jengo la Tanzanite.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…