A series si nasikia ni updates infinix? Sijuika 6A na 7A vyote 6.1 inches
vitamu😋
hii samsung A50 yangu haina maajabu kwenye picha😆
A series si nasikia ni updates infinix? Sijui
6.1’ pambeee niko nako hapa, hakana protector wala kava [emoji23][emoji23]
Bei ulizotaja ni unboxed or used? Ile 800-1M
Abee 🤭
pixel 6A ni chini ya $400 mpya, 7A ni chini ya $500 mpyaA series si nasikia ni updates infinix? Sijui
6.1’ pambeee niko nako hapa, hakana protector wala kava 😂😂
Bei ulizotaja ni unboxed or used? Ile 800-1M
Machimbo si Makumbusho na Mwenge 🤣🤣pixel 6A ni chini ya $400 mpya, 7A ni chini ya $500 mpya
machimbo ndo sijui😂
plain na pro ndo hua ghali, A ni kama mini
Tafuta hela kijana,ume comment kinyonge sana.Ndio, yaani tunazibana mnoo, milioni mbili siwezi tupa kwenye sms na hallow hallow
Tafuta hela kijana,ume comment kinyonge sana.
Dah 🤣😂🤒Tafuta hela kijana,ume comment kinyonge sana.
Komasimita🤒All the Best
Komasimita🤒
Ni komapsumnida 🤣😂😃😃🤒Gomawo😂😂😂hata sijui nimeandika nini
matajiri hawauzi wanatupia ndani wananunua mali mpyaHuku maskini mmejaa wengi Sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😀😀😀😀ni mzigoAny of PM sirudii kumiliki
Ni nzito afu pana sana mkononi’ kubwa kwa kifupi.
Atutafutie pro/ plain kisha uje kunichangia
😂 unawananga wateja?Huku maskini mmejaa wengi Sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaoweza wapongezwe kwa kweli😀😀😀😀ni mzigo
pixel 6A ni chini ya $400 mpya, 7A ni chini ya $500 mpya
machimbo ndo sijui😂
plain na pro ndo hua ghali, A ni kama mini