marcus dedsec
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 944
- 987
Mkoani unaagiza..ipo 200000
Risiti yake ipo?
Tuanzie hapo kwanza
300k ipo chap mkuu
Unashida gani iliyokupelekea uuze chombo cha mawasiliano. Simu ni zaidi ya nyumba mkuu, kama una kiwanja au nyumba uza mojawapo sio simuStorage 64gb
Battery health 95%
Touch id inafanya kazi
Ina cracks kidogo kwenye back glass ila imewekewa back glass protector
Bei 400000 tu
Kama upo dar au kibaha nakuletea ulipo nina shida na hela wakuu
Nicheck whatsapp 0693034903 au sms 0693010101
View attachment 2166623
View attachment 2166624
View attachment 2166625
View attachment 2166626
View attachment 2166627
View attachment 2166628
View attachment 2166629
Unashida gani iliyokupelekea uuze chombo cha mawasiliano. Simu ni zaidi ya nyumba mkuu, kama una kiwanja au nyumba uza mojawapo sio simu
Kila la kheri
Nilitaka nikuuzie kwa ofa yako hiyo ila pm umefunga mzee sio mbaya nishaiuza.Narudia tena kuna laki 3 hapa.