kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Cc DeepPondHello bosses and roses...
Nauza Apple iPhone XS Max Gold kwa 500k tu. Nimeitumia kwa miezi miwili tu, battery health ni 87%.
Bado ni mpya kimwonekano hata kimatumizi.
Haina tatizo lolote, sababu ya kuiuza nimepata 13 pro max ndo maana naachia hii.
Mwenye kuhitaji njoo inbox, wenye michepuko wanunulieni michepuko zawadi ya valentine, hahahaa (joking...)
View attachment 2877762
View attachment 2877763
Mganga Mungu mitishamba imani
Duuh ni hatari.. battery 78% halafu umewasha power saver hilo battery ni nzima?
SOLD.Hello bosses and roses...
Nauza Apple iPhone XS Max Gold kwa 500k tu. Nimeitumia kwa miezi miwili tu, battery health ni 87%.
Bado ni mpya kimwonekano hata kimatumizi.
Haina tatizo lolote, sababu ya kuiuza nimepata 13 pro max ndo maana naachia hii.
Mwenye kuhitaji njoo inbox, wenye michepuko wanunulieni michepuko zawadi ya valentine, hahahaa (joking...)
View attachment 2877762
View attachment 2877763
UPDATE.
========
SOLD