Nauza kabati la vyombo na friji dogo

Nauza kabati la vyombo na friji dogo

mbugot

Member
Joined
Aug 7, 2013
Posts
40
Reaction score
33
Salaam kwa wote. Nauza kabati kubwa la vyombo (kama linayoonekana pichani). Bei ni shilingi 350,000/. Kabati limetumika lakini lipo kwenye hali nzuri sana.

Pia nauza friji ndogo (kama inavyoonekana pichani). Bei ni sh. 195,000/. Friji limetumika lakini linafanya kazi vizuri sana.

IMG_20220604_124558.jpg
IMG_20220604_124623.jpg
IMG_20220604_163633.jpg
Vitu vyote vipo Dar es Salaam, eneo la Makumbusho. Napatikana kwa simu no. 0756609333.



IMG_20220604_124558.jpg
IMG_20220604_124623.jpg
 

Attachments

  • IMG_20220604_163730.jpg
    IMG_20220604_163730.jpg
    157.6 KB · Views: 35
  • IMG-20220614-WA0015.jpg
    IMG-20220614-WA0015.jpg
    34.1 KB · Views: 20
Back
Top Bottom