Nauza kabati la vyombo na friji dogo

mbugot

Member
Joined
Aug 7, 2013
Posts
40
Reaction score
33
Salaam kwa wote. Nauza kabati kubwa la vyombo (kama linayoonekana pichani). Bei ni shilingi 350,000/. Kabati limetumika lakini lipo kwenye hali nzuri sana.

Pia nauza friji ndogo (kama inavyoonekana pichani). Bei ni sh. 195,000/. Friji limetumika lakini linafanya kazi vizuri sana.

Vitu vyote vipo Dar es Salaam, eneo la Makumbusho. Napatikana kwa simu no. 0756609333.



 

Attachments

  • IMG_20220604_163730.jpg
    157.6 KB · Views: 35
  • IMG-20220614-WA0015.jpg
    34.1 KB · Views: 20
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…