Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Nina Kamera mbili nilinunua nikiwa naanza kujifunza maswala ya picha, kwa sasa sizitumii, bado ziko kwenye hali nzuri sana, nauza kwa bei ya kutupa.
Sony nex-6
Iko na chaji yake na kit lens
Canon 1200d
Iko na chaji na kit lens
Kila moja nataka laki nne.
Karibuni
Sony nex-6
Iko na chaji yake na kit lens
Canon 1200d
Iko na chaji na kit lens
Kila moja nataka laki nne.
Karibuni