Nauza kampuni ya clearing and forwarding yenye leseni mpya haidiwi chochote kwa yeyote aliye interested ani PM au nicheki kwa namba 0622-027490
Post sent using JamiiForums mobile app
Meli zimeanza kuja port Dar? au ni ile ile moja inayolipa kodi? ndio inakuja?
Nna 2.8 M
Tuyajenge
Mwambie aweke bei sasa.Mkuu hiyo hata kiosk chenyewe hakiuzwi kwa bei hiyo... Labda kama una utani na mwenye tangazo..
If I am not registered by TRA as clearing agent dont see I can do nothing with your company??Nauza kampuni ya clearing and forwarding yenye leseni mpya haidiwi chochote kwa yeyote aliye interested ani PM au nicheki kwa namba 0622-027490
Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu bei ni 85 mill tunazungumza nashukuru kwa maelekezoMkuu biashara huwa haitangazwi hivyo bhana .
Hebu weka na bei ya hiyo kampuni tujue maana tukija PM ni mambo ya ku negotiate mambo mengine tu.
Nina ndugu yangu alifanya mtihani mwaka huu ila alifeli na yupo tayari kununua kampuni so ukiweka tangazo vizuri ninaweza kwenda kumshawishi ili aweze kuinunua.
Japo sasa hivi biashara imekuwa ngumu ila hakuna jinsi.
85 mill mkuu but tunazungumzaBei tafadhali
Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
Asante mkuu ila haijafikia lengoNna 2.8 M
Tuyajenge
Kwanini 85 na siyo 100 au laki 8.??Mkuu bei ni 85 mill tunazungumza nashukuru kwa maelekezo
Sent from my HTC_D526h using JamiiForums mobile app
Mkuu Kuna jamaa yangu anahitaji hii Kitu fasta nicheki tuyajenge +255 714 434 190Nauza kampuni ya clearing and forwarding yenye leseni mpya haidiwi chochote kwa yeyote aliye interested ani PM au nicheki kwa namba 0622-027490
Post sent using JamiiForums mobile app