Nauza kifaa cha kutengenezea mishumaa ya kanisani

Nauza kifaa cha kutengenezea mishumaa ya kanisani

Biashara2000

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2013
Posts
649
Reaction score
547
Habari nauza vifa vya kutngeezea mishumaa ya kanisani. Mishumaa 18 kwa saa. Kila dk 20 mishumaa 6 bei sh 120,000 nipo Dar 0758308193. Unaweza uza hata kwa watu kutumia nyumbani

images - 2023-09-16T154014.507.jpeg

 
Pia mishumaa mikubwa minene inayotumika kanisani mfano kanisa katoliki na mengine pia nauza. ina upana diameter 7cm na urefu futi 1 kwa sh 12000. Lakini size yeyote unayotaka nakutengenezea. ukishanipa kipimo utakachoo nakupigia hesabu unapata. 0758308193
 
KUELEKEA PASAKA: PUNGUZO LA BEI.

KIFAA CHA PLASTIC CHA KUTENGENEZA MISHUMAA YA KANISANI

images (6) (7).jpeg


Bei sh 60,000

Bei hii inahushisha na mafunzo namna ya kukitumia na kutengeneza MISHUMAA. Kinakupa MISHUMAA 1 Kila baada ya dakika 10. Kwa jinsia hiyo utapata MISHUMAA ya KANISANI 6 kwa saa.

Utaandaliwa KIFAA hiki kulingana na size ya MISHUMAA unayotaka kwa bei hiyo hiyo kwani MISHUMAA huwa na size tofauti kulingana na dhehebu
 
Back
Top Bottom