INAUZWA Nauza king'amuzi cha DSTV

Troubleshooter

Senior Member
Joined
Mar 30, 2016
Posts
120
Reaction score
136
Kichwa cha habari chahusika nauza dstv decorder set kwa Tsh. 70,000/- but inapungua kwa maelewano kwa anayehitaji anicheki kwa namba 0625544781
Napatikana Dar es Salaam
 
Wakuu inaonekana wengi humu ni wasomi ila vyeti bandia, maana mtu kasema atafutwe kupitia namba aliyoiweka ila bado vichwa ngumu.
 
Issue sio kukimiliki issue ni malipo ya mwezi ndugu siku za kwanza utajitutumua , picha clear kweli kweli lakini baada ya miezi mitatu .....maweeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…