Plot4Sale Nauza kioo cha Samsung J7 Pro.

Plot4Sale Nauza kioo cha Samsung J7 Pro.

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Simu tajwa hapo juu ina miezi mitatu tu imeingia maji, warranty haifanyi kazi kww case za mishandling gharama za matengenezo naona ni bora ninunuwe simu nyingine, sasa nimeona ni heri nipate nusu hasara kuna vitu ni vizima kabisa humu kwenye hiyo simu.

Karibuni wote kwa mwenye kuhitaji.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom