KinatishaShalom,
Hope mko poa asee.. makomando na wauza bucha kuna wembe hapa mkali sana kwa ajili ya kazi maalum
Ak47 CcCp mpyaaaa π₯π₯π₯
Shiling 20000 tu, free delivery
Niko mbagala hapa. Kokote nakuletea
Oh! Nipe address ya kilingeNakihitaji. Niletee kigoma Leo hii
Kinatisha
πππππTungekunyaka njian kabla ya kufika mpakani.Ah we.. si ningeenda kuisukuma mpakani kule kwa m23 pale goma chap hap tu. URT mngejua lin kama ninayo?
Wakuu bisu bado ipo hiyo wazee wa vitenge mnakwama wapi?πππππTungekunyaka njian kabla ya kufika mpakani.
Eksi wako na kufutwa uzi wangu vinahusiana vip?Mods futeni huu uzi haraka kabla hajauona X wangu
Lete maneno meja jeneraliNatamani hiki uniuzie Ila nakuchoresha Kijiji nilipo unakuja mpaka kwa mtendaji wa Kijiji unamtajia majina yangu unamwambia nimetumwa kutoka makao makuu ya jeshi la wananchi ,nimetumwa kuleta hii siraha (unamuonesha ) kwa mkuu .
Nakulipa hela ya kisu na nauli alafu baada ya hapo hapa kijijini nitakuwa nimeongeza nyota nyingine ya heshima bila nguvu nyingi
Kila la kheri MkuuShalom,
Hope mko poa asee.. makomando na wauza bucha kuna wembe hapa mkali sana kwa ajili ya kazi maalum
Ak47 CcCp mpyaaaa π₯π₯π₯
Shiling 20000 tu, free delivery
Niko mbagala hapa. Kokote nakuletea
View attachment 3056260View attachment 3056261View attachment 3056262View attachment 3056263
Umeniita vizuri hilo jina mpaka huyu muuza ulanzi hapa naye nimemwambia aagize kibaba ,huku nachekelea mwenyewe kwa raha .Lete maneno meja jenerali
Hiyo itakuwa biashar kichaa meja, kwa nn usimuagize bolt akifate hapa mbagala kutokea hapo Ngome makao makuu ya nchi?Umeniita vizuri hilo jina mpaka huyu muuza ulanzi hapa naye nimemwambia aagize kibaba ,huku nachekelea mwenyewe kwa raha .
Uko tayari Kaka tufanye biashara kwa mfumo huo maana naona Kuna mwalimu mpya hapa kijijini ameanza kuwateka wanakijiji kisa ana master ya pale UDOM wanamuamini sana kiasi heshima yangu inaanza kushuka na kupotea maana vingi nilivyowadanganya anawaambia ukweli
Wewe jamaa haya majina makubwa unayonipa leo sijui Kama sijaenda kuvaa buti zangu nianze kuwapiga mitama wanakijiji maana najihisi bichwa kuvimba haswaHiyo itakuwa biashar kichaa meja, kwa nn usimuagize bolt akifate hapa mbagala kutokea hapo Ngome makao makuu ya nchi?
Serious business mkuu nichek namba hiyo hapo juuWewe jamaa haya majina makubwa unayonipa leo sijui Kama sijaenda kuvaa buti zangu nianze kuwapiga mitama wanakijiji maana najihisi bichwa kuvimba haswa
0778321833Kiongozi naweza kulipia nusu ya Bei please.
KAZI ni kipimo cha UTU