Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Shukran mkuuNdugu Half american labda nikupe DOKEZO kidogo. Usipowahi maisha ya ardhi zama hizi, miaka 10 mbele hutopata kiwanja Bunju kwa bei hio.
karibu
mkuu Maisha Popote tu karibu sana bunjuShukran mkuu
Hatua 20 kwa 25 ni equivalent na sqm ngapi kwa ngapi.
ningekujibu ila sijaelewa equivalent mkuu😓😓Hatua 20 kwa 25 ni equivalent na sqm ngapi kwa ngapi.
Equivalent to 500sqmHatua 20 kwa 25 ni equivalent na sqm ngapi kwa ngapi.
tape measure ni buku tuukubwa ni hatua 22 kwa 25
Equivalent maana yake "Sawa Sawa"ningekujibu ila sijaelewa equivalent mkuu😓😓
UsidanganyweEquivalent to 500sqm
Akiweka kwa mt utakuta ni 12/16tape measure ni buku tu
nunua pima, uweke vipimo kwa meter
Unafika kwa Ridhiwani? I mean shamba la Ridhiwan?kiwanja kiko Bunju A, Kinondo. Mpakani mwa Madale na Mbopo
ukubwa ni hatua 22 kwa 25
dakika 10 kwa Boda kutoka Bunju Shuleni
Kimehakikiwa na namba ya uhakiki ipo (hati bado)
Kinafikika kwa namna zote: miguu, pikipiki, baisikeli au Gari
eneo limejengeka sana
6,500,000Tsh tu za Kitanzania
usije PM: NIPIGIE 0744 033 555
View attachment 2587205View attachment 2587206View attachment 2587207View attachment 2587208
Kinondo unavuka kwa Ridhiwani..Unafika kwa Ridhiwani? I mean shamba la Ridhiwan?
🐕Mkuu samahani!!!!
Hivi ndiyo vile viwanja vimepimwa ambavyo watu wanatakiwa kuvilipia tena ili kupata hati?
Nini tena Dogo?[emoji240]
[emoji1787]
Mtafutaji hujambo?Kinondo unavuka kwa Ridhiwani..
Mbele kabisa...