Maeneo hayo na kwa ukubwa huo, nasita kuamini kiasi cha fedha.Ila sema Mingoi-Mapinga, Bagamoyo na sio Bunju-Mingo.' Na km ni upande wa Bahari, huko so Mingoi bali Kiharaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mita 65 X mita 40 = 2,600 SqmKiwanja maeneo ya Bunju- Mingoi.
Kipo eneo zuri tambarare.
urefu mita 65 upana mita 40.
kipo km 4 kutoka barabara ya Bagamoyo
unapata upepo mwanana na unaona maeneo ya baharini.
maji tayari yapo.
umeme haupo mbali.
Bei ni milioni kumi na mbili. 12,000,000/=
maelezo zaidi na kupelekwa piga 0758003101.
niite KATANGA napatikana Bunju mwisho. haudaiwi chochote kukiona.