Nimesema njoo ukague unipe offer nzuriHapo tu bei yake ndo bilioni 28?
Hata mm nimeshangaa sana hiv B8 jamaa ana ijua kweli uyu yaan Milion ziwe efu 8Hapo tu bei yake ndo bilioni 28?
Uko sawa kabisa ningependa kuanzia 55 million maongezi yapo.Mkuu ili kuepusha usumbufu ungeweka bei na kusema mazungumzo yapo...ofa nzuri inategemea na ubongo wa mtu, mwingine atakuja kukagua na wewe akupotezee muda halafu ataje bei ambayo haifiki hata nusu ya ulichokuwa unatarajia
Kiwanja kilo posta mpya?Hata mm nimeshangaa sana hiv B8 jamaa ana ijua kweli uyu yaan Milion ziwe efu 8
Nimeshataja beiSouljar unaogopa kutaja bei.?
Unaweza kuja kwenye site tufanye mambo rahisiUnaweza piga picha vizuri kila kona ya hiko kiwanja. Ili tuone twafanyaje.
Check pm mkuu.Unaweza kuja kwenye site tufanye mambo rahisi
OkCheck pm mkuu.
Haukuwa na haja ya kucomment.Kila la heri
Natumai zile ofisi za mtendaji za zenye bendera ya chama na kila kitu halafu zinapotea baada ya manunuzi hazipo siku hizi