Plot4Sale Nauza kiwanja Chanika bei nafuu kulingana na mahali kilipo.

Madihani

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
6,154
Reaction score
7,083
Habari wana Jf.

Bei ni 2.7mil maelewano yapo.
Ukubwa ni mita15*15.

Kilomita moja kutoka barabara ya lami ya Chanika(Kwa wenyeji wa Chanika ni jirani na pale kwa Mzelu(Chabupu) kwa miguu ni mwendo wa dakika 15 tu kwa wastani).

Huduma mhimu kama barabara na umeme vyote vipo.

Mteja unaruhusiwa kulipa kwa awamu mbili hadi tatu kulingana na makubaliano.

Karibuni,kuhusu mawasiliano tuwasiliane PM.

Kwenye picha eneo lenye majani ndio kiwanja chenyewe kinachouzwa.
 
Karibuni bado sijapata mteja.
 
Mkuu unauza NJIA au kiwanja? tuweke wazi tafadhali
Soma thread yote kwa umakini,kwenye picha kuna njia(Barabara) na eneo lenye majani ndio langu,hio barabara mali ya umma.

Lakini naona huna akili timamu na una nia mbaya.
 
Soma thread yote kwa umakini,kwenye picha kuna njia(Barabara) na eneo lenye majani ndio langu,hio barabara mali ya umma.

Lakini naona huna akili timamu na una nia mbaya.
Arghhhh, sasa kumbe unataka kutuuzia kichaka mkuu! Please kuwa serious
 
Arghhhh, sasa kumbe unataka kutuuzia kichaka mkuu! Please kuwa serious
Wewe chizi kweli kwani haiwezekani kufyeka kama pesa ya kumlipa mfyekaji ipo.

Dah nilikuwa nakuheshimu hapa Jf kumbe wewe ni mbulula wa kutosha kabisa.
 
Wewe chizi kweli kwani haiwezekani kufyeka kama pesa ya kumlipa mfyekaji ipo.

Dah nilikuwa nakuheshimu hapa Jf kumbe wewe ni mbulula wa kutosha kabisa.
Mkuu hiyo barabara inaweza kuja kupanuliwa huoni kama hilo litatokea basi kuna uwezekano mkubwa wa hilo eneo unaloliuza likamegwa?
 
Mkuu hiyo barabara inaweza kuja kupanuliwa huoni kama hilo litatokea basi kuna uwezekano mkubwa wa hilo eneo unaloliuza likamegwa?
Hii ni barabara ya mtaa ni pana,haina uhusiano na eneo langu.

Barabara ilitengwa wakati wa kukata viwanja,mtu akinunua ndio barabara ya kufika kwenye mtaa.

Pia hizi ni picha lakini ukifika eneo husika utaona kuna barabara na kiwanja kwa mpangilio mzuri.
 
Sawa mkuu umenielewesha japo kwa kiasi ila punguza jazba kiongozi


Una tatizo la Anxiety!
 
Sawa mkuu umenielewesha japo kwa kiasi ila punguza jazba kiongozi


Una tatizo la Anxiety!
Sina hili tatizo ila sipendagi ujinga kabisa hasa kwa mtu anayehitaji kuharibu mambo yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…