Eneo Chanika Buyuni kituo cha daladala kwa dadi, ukubwa urefu hatua 25 na upana hatua 15. Eneo lina msingi wa nyumba vyumba vitatu vya kulala, kimoja master bedroom, kina sebule, jiko na choo cha public. Pia kina maji na kuna tofali 200
1km kutoka barabara kuu
Bei Tsh 9milion, maongezi baada ya kufika eneo la tukio
For more information please contact Call/Whatsap 0714 521128