Wadau habarini!
Nina kiwanja kimepimwa kipo Dodoma eneo linaitwa Swaswa mbele kidogo ya makazi ya Waziri Mkuu na jirani kabisa na inakopita barabara ya kuelekea Airport tarajiwa ya Msalato.
Kimepimwa mchakato wa hati unaendelea, kina ukubwa wa Mita za Mraba 600, bei ni milioni 6.
Karibuni kwa mwenye nia tuwasiliane inbox
Nina kiwanja kimepimwa kipo Dodoma eneo linaitwa Swaswa mbele kidogo ya makazi ya Waziri Mkuu na jirani kabisa na inakopita barabara ya kuelekea Airport tarajiwa ya Msalato.
Kimepimwa mchakato wa hati unaendelea, kina ukubwa wa Mita za Mraba 600, bei ni milioni 6.
Karibuni kwa mwenye nia tuwasiliane inbox