Plot4Sale Nauza kiwanja kibada kigamboni

Plot4Sale Nauza kiwanja kibada kigamboni

Nyankuzi

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2016
Posts
465
Reaction score
391
Nauza kiwanja kiko sehemu nzuri sana na bei ni nzuri square meter 2000 . Karibuni sana.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Sasa si utaje bei ya kiwanja Nyankuzi, ukitaja bei ya sq mita bila kusema kina sq mita ngapi ndio umefanya nini
 
Sasa si utaje bei ya kiwanja Nyankuzi, ukitaja bei ya sq mita bila kusema kina sq mita ngapi ndio umefanya nini
Asante kwa ushauri 85 Million. Punguzo ipo
 
Labda iwe millioni ya Zimbabwe..lakini kwa Tanzania hii ni bei ya nyumba.. Kibada haijafikia hapo..
Unaijua kibada ya wapi wewe???? Kn vitu km hujui kaa kimyaaa.
 
Ni ukichaa au unaumwa..? wee mzima kweli..?

Haki ya Mungu, ukiona watu wengine maskini ni haki kabisa.. mmmh
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Stress mbaya jmn...
Kuna wenye nazo nyi piteni hv
 
Ulikinunua wakati wa JK huu ni wakati wa JPM. Njoo kivingine
 
Ulikinunua wakati wa JK huu ni wakati wa JPM. Njoo kivingine
 
Dah...zaidi ya 100,000 kwa square metre[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kuna nini hapo?
Mbona sasa hivi hata beach plot unapata chini ya 50,000/- kwa square metre?
 
Dah...zaidi ya 100,000 kwa square metre[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kuna nini hapo?
Mbona sasa hivi hata beach plot unapata chini ya 50,000/- kwa square metre?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Na kimechukuliwa sasa hapo ndo utashangaa sema mimi sina sio hatuna hela.
 
Back
Top Bottom