Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 765
- 490
ShukranSawa Sheikh. Inshallah, utapata wateja. Tangazo limejitosheleza.
Soma vizuri ni million 6.Mbona unauza mil. 40 kwa ni ni cha kujenga sheli?
[emoji3]Mbona unauza mil. 40 kwa ni ni cha kujenga sheli?
Bado kipo?Asalaam alaikum
Nawatangazia kua nina kiwanja nauza ambacho kina sifa zifuatazo
. Kiwanja kipo maneno ya Kigamboni maeneo ya puna
. Kutoka barabara kuu ni meter 50
. Kiwanja kimepimwa na tayari kina hati
. Umeme umefika kwenye eneo
. Ukubwa wa kiwanja ni sqm 520
. Kiwanja kina mitaa miwili
. Eneo ni tambarale hakuna mwinuko wala bonde
. Kwa mawasiliano 0762987034
Asante sana
View attachment 2124363
Ndio bado kipoBado kipo?
Puna ni kimbiji jiran na chuo cha ufundi wa jktSamahani mkuu, hili eneo linaloitwa Puna lipo Kigamboni sehemu/upande upi ama jirani na wapi?
Asante na ww nduguAhsante kwa taarifa...
Kutoka baharini ni meter 500Kahtan Ahmed, Umbali gani kutoka baharini?
Bei?Mimi nnacho gezaulole pia nauza kimepimwa na hati
Bei?
Bei?Mimi nnacho gezaulole pia nauza kimepimwa na hati